Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Thursday, November 21, 2013

DODODMA KULA NYAMA NI ASILI YETU HASA SIKU YA GULIO/MNADA.



Mfanyabiashara wa Nyama ,ambaye hakutambulika jina lake akikata nyama tayari kwa kwenda kuchoma katika Gulio ambalo hufanyika kila mwisho wa mwezi Dodoma nje kidogo ya mji.
 Wakazi wa Dodoma wakichagua Nyama/Mapande tayari kwa kwenda kuchomewa, hiyo imekuwa ni kawaida kwao hasa mwishoni mwa juma na hata mwishoni mwa mwezi kama walivyonaswa na Camera yetu hivi karibuni.
 Baadhi ya wakazi wa Dodoma vijijini wakichagua katambuga zinazotokana na Matairi ya Gari
Mwana Mama mjasiliamali, akiuza Chumvi katika Gulio hilo pembeni kidogo ya Mjini Dodoma

HABARI KATIKA PICHA-MAMBO YA MALAWI.

Mama ambahye hakutambulika jina lake akichota maji katika Ziwa Nyasa akiwa na Mtoto mgongoni hivi karibuni .Hiyo ni kawada kwa wakazi wa pembezoni mwa Ziwa hilo ktumia maji ya Ziwa kwa kuvya, kufua na matumizi mengine.
Add caption

Mfanyabiashara wa Dagaa, ambaye hakutaka kutaja jina lake akikausha Dagaa wake kwa njia ya jua tayari kwa kwenda kuuza kwa watumiaji pembezoni mwa Ziwa Nyasa Malawi.
 Akikausha Dagaa kwa njia ya Jua katika ufukwe wa Ziwa Nyasa Malawi
 Hakuna kazi ya Mwanaume wala Mwanamke ,kazi ni kazi .

Wakina mama wakitoka Shamba mara baada ya kazi wakiwa na usafir asili wa Ng'ombe Malawi

SAMSUNG YAKABIDHI ZAWADI ZA WASHINDI WA PROMOSHENI YA KWANZA YA "PAMBIKA NA SAMSUNG".

 Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar(kushoto) akimkabidhi Fridge ya Samsung mshindi, Betrice Mushi wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa Promosheni ya Pambika na Sumsung.Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Saalaam .
 Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar(kulia) akimkabidhi TV Nchi 32 ya Samsung mshindi, Doroth Madeleka wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa Promosheni ya Pambika na Sumsung.Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Saalaam .
 Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar(kulia) akimkabidhi Laptop ya Samsung mshindi, Chrismas Gowele wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa Promosheni ya Pambika na Sumsung.Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Saalaam .
 Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar(kulia) akimkabidhi Galaxy Tab ya Samsung mshindi, Abbas Moledina wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa Promosheni ya Pambika na Sumsung.Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Saalaam .
 Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar(kulia) akimkabidhi Microwave ya Samsung mshindi, Ally Abdalah wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa Promosheni ya Pambika na Sumsung.Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Saalaam .
 Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar(kulia) akimkabidhi Home Theatre ya Samsung mshindi, Hamis Kondo wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa Promosheni ya Pambika na Sumsung.Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Saalaam .
Picha ya pamoja ya washindi pamoja na Uongozi wa Samsung

0 maoni:

Post a Comment