Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Wednesday, May 21, 2014

OMO WAKABIDHI ZAWADI WA WASHINDI WA PROMOSHENI YA FUA UPAE HADI DUBAI JIJINI ARUSHA

 
Meneja Masoko msaidizi wa Unilever Tanzania Limited, Brenda Wakiagi(kushoto) akimkabidhi mshindi wa kwanza wa promosheni ya 'Fua Upae kwenda Dubai' Sarapia Aloyce mfano wa tiketi ya kwenda Dubai mara baada ya kuibuka mshindi katika droo iliyochezeshwa mwishoni mwa wiki kwa wakazi wa jijini la Arusha wanaotumia sabuni ya Omo.Hafla fupi ya makabhiano ilifanyika Kibo Hotel jana.Katikati ni Balozi wa Omo Tanzania, Mariam Migomba.
 
Meneja wa Unilever Tanzania wa eneo la Moshi na Arusha, Elieza Mhiro(kushoto) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae', Doreen Mbishi hundi fedha taslimu sh. 600,000 baada ya kununua sabuni ya Omo. Katikati ni Balozi wa Omo Tanzania, Mariamu Migomba.Hafla fupi ya makabidhiano ilifanyika Kibo Hoteli jijini Arusha jana.

Meneja wa Unilever Tanzania wa eneo la Moshi na Arusha, Elieza Mhiro(kushoto) akimkabidhi mshindi wa promosheni ya 'Fua Upae', Doreen Mbishi aliyejishindia fedha taslimu sh. 600,000 baada ya kununua sabuni ya Omo. Katikati ni Balozi wa Omo Tanzania, Mariamu Migomba.Hafla fupi ya makabidhiano ilifanyika Kibo Hoteli jijini Arusha jana.

0 maoni:

Post a Comment