Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Wednesday, October 5, 2011

EXTRA BONGO/TWANGA, USO KWA USO

Mpiga Drum wa Bendi ya Extra Bongo, Martin Kibosho (kulia) na Mdogo wake Mpiga Drum wa Bendi ya Twanga Pepeta,Jemes Kibosho wakiweka msalaba kwenye Kaburi la Marehemu Dada yao,Beatrice Kibosho aliyezikwa leo kwenye Makaburi ya Mburahati Jijini Dar es Salaam
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa kwenye msiba nyumbani kwao na marehemu,Beatrice Kibosho ,Mabibo jijini Dar es Salaam
Martin Kibosho mpiga drum wa Bendi ya Extra Bongo akiwa na sura ya majonzi baada ya kuona umati wa watu nyumbani kwao akirejea kutoka Mochwari kuchukua mwili wa Marehemu Dada yake, Beatrice Kibosho leo
Wazee wakizungumza jambo na Kijana Martin Kibosho
Wanamuziki wa Extra Bongo wakiwa na mfiwa,Jemes Kibosho
Mkurugenzi wa Extra Bongo,Ally Chocky akidoea chips (katikati) Dogo Rama wa Twanga Pepeta na Amina Mnoga wa Twanga wakila chips wakati wa maziko
Chips tamuuuuuuuuuuuuuuuuu
Super Danger wa Extra Bongo akisalimiana na wanamuziki wa Twanga
Wanamuziki wa Extra Bongo na Twanga wakichati
Ndugu jamaa na marafiki wakiaga mwili wa marehemu
Aliyekuwa mpiga Drum wa Exta Bongo akiaga mwili wa marehemu Beatrice Kibosho
Mpiga Rythim wa Extra Bongo akiaga mwili wa Marehemu BEATRICE KIBOSHO
Kwaheri BEATRICE
Mtoto wa kwanza wa marehemu akiaga mwili wa Mama yake
Kwaheri Mdogo wangu
Watoto wa Marehemu wakimuaga Mama yao
Mama wa Marehemu akimuaga mtoto wake
Mwili wa marehemu BEATRICI KIBOSHO ukipelekwa makaburini
Kwaheri Beatrice Kibosho
Wakiweka udongo
Mazishi yakifanyika
Kwaheri Dada yetu kipenzi Bite
Sister kwaheri,nilikupenda sana ila Mwenyezi Mungu kakupenda zaidi
Watoto wa Marehemu wakiweka shada la Maua
Kaka wa marehemu wakiweka shada la maua

0 maoni:

Post a Comment