Friday, May 18, 2012
PATA NAKALA YA GAZETI LAKO LA SUPER STAR KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI KILA SIKU
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
8:19 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
TIGO YATANGAZA WASHINDI WA FREE AIRLINE TICKET.
Ofi uhusiano wa kampuni ya tigo Alice Maro akimkabidhi zawadi mmoja ya
washindi wa shindano hilo Mshindi mwingine wa Ideo Lackson Mpangala,
DSM.
Ofi uhusiano wa kampuni ya tigo Alice Maro Mshindi mwengine akikabidhiwa simu yake.Ofi uhusiano wa kampuni ya tigo Alice Maro Mshindi mwengine akikabidhiwa simu yake.
Ofi uhusiano wa kampuni ya tigo Alice Maro Mshindi mwengine akikabidhiwa simu yake.
Wshindi wote walioshinda simu pamoja na mshindi wa Tiketi ya ndege wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
7:57 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
FFU ! wa Ngoma Africa kuvaana na Wakameruni 5,000 Stuttgart,Ujerumani
Wakameruni wapatao zaidi ya 5,000 waishio nchini ujerumani wanatalajia
kujimwaga na muziki wa dansi wa Ngoma Africa Band huko mjini
Stuttgart,Ujerumani siku ya jumamosi
20 Mai 2012,katika sherehe maalumu kwa ajili ya nchi yao "Cameroni Challenge" .
Kamati ya maandalizi ya jumuia ya wakameruni nchini Ujerumani imetoa mwaliko kwa
bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya Ngoma Africa band almaarufu FFU,kutumbuiza
katika sherehe hizo zitakazo fanyika mjini Stuttgart,nchini Ujerumani,ambako zitahudhuriwa na
wakameruni 5000 pamoja na wageni wa mataifa mbali mbali.
Mzimu huo wa dansi Ngoma Africa band aka FFU unatarajiwa kutoa burudani ya kuwapandisha
mzuka wadau wote watakao jimwaga uwanjani,
Ngoma Africa band sasa wanatamba na mpini wao mpya " Uhuru wa Habari" sikiliza hapa www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
20 Mai 2012,katika sherehe maalumu kwa ajili ya nchi yao "Cameroni Challenge" .
Kamati ya maandalizi ya jumuia ya wakameruni nchini Ujerumani imetoa mwaliko kwa
bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya Ngoma Africa band almaarufu FFU,kutumbuiza
katika sherehe hizo zitakazo fanyika mjini Stuttgart,nchini Ujerumani,ambako zitahudhuriwa na
wakameruni 5000 pamoja na wageni wa mataifa mbali mbali.
Mzimu huo wa dansi Ngoma Africa band aka FFU unatarajiwa kutoa burudani ya kuwapandisha
mzuka wadau wote watakao jimwaga uwanjani,
Ngoma Africa band sasa wanatamba na mpini wao mpya " Uhuru wa Habari" sikiliza hapa www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
You might also like:
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
7:56 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
WASHIRIKI WA BIGBROTHER STARGAME 2012 WAZUNGUMZA NA WANDISHI WA HABARI BAADA YA KUREJEA
Aliyekuwa Mwakilishi wa Tanzania katika Shindano la msimu wa 7 wa Big Brother Stargame 2012 wapili kulia Bw.Julio Batalia akizungumza
na waandishi wa habari kwenye mkutano uliofanyika kwenye hoteli ya
Southernsun jijini Dar es salaam , wa pili kutoka kulia ni Mshiriki wa
Big Brother Stargame 2012 Bi,Hilda Reiffenstein, kulia ni Meneja
Masoko wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Bi Furaha Samalu wa mwisho
kulia na kushoto ni Meneja Uhusiano wa Maltchoice Tanzania Barbara
Kambogi
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
Alikyekuwa Mshiriki wa Big Brother Stargame 2012 Bi,Hilda Reiffenstein akizungumza na wanahabari kwenye hoteli ya Southersun jijini Dar es salaam leo, kulia ni Meneja
Masoko wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Bi Furaha Samalu wa mwisho
kutoka kushoto ni Meneja Uhusiano wa Maltchoice Tanzania Barbara
Kambogi na Bw.Julio Batalia aliyekuwa mshiriki wa Bigbrother Stargame 2012
Afisa
Mahusiano wa Multichoice Tanzania Barbara Kambogi wakwanza(kushoto)
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam
ambapo ametolea ufafanuzi mfumo uliotumika mwaka huu katika kuchagua
nchi itakayotoka katika shindano hilo Afisa
Mahusiano wa Multichoice Tanzania Barbara Kambogi wakwanza(kushoto)
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam
ambapo ametolea ufafanuzi mfumo uliotumika mwaka huu katika kuchagua
nchi itakayotoka katika shindano hilo
Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
7:55 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAWAPA MABLOGGER SEMINA YA UENDESHAJI WA MITANDAO NA MAADILI KATIKA KUPASHA HABARI ZA MASOKO
Mkurugenzi wa mtandao wa www.fullshangweblog.com akipokea cheti chake
kutoka kwa Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya
Serengeti (SBL) mara baada ya kumalizika kwa semina ya Mablogger kuhusu
usimamizi na maadili ya upashaji wa habari na masoko katika
uendeleshaji wa blogu na mitandao mingine, iliyofanyika leo kwenye makao
makuu ya kampuni hiyo yaliyoko Oysterbay jijini Dar es salaam, katikati
ni mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni hiyo Teddy Mapunda
Mkurugenzi wa Fullshangweblog kushoto akizungumza na mkurugenzi wa
8020fashion Shamimu Mwasha mara baada ya semina hiyo, kulia ni
Mkurugenzi wa blogu ya Father Kidevu.
mkurugenzi wa 8020fashion Shamimu Mwasha akipokea cheti chake Ephraim
Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL)
katikati ni mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni hiyo Teddy Mapunda.
Josephat Lukaza akipokea cheti chake kutoka kwa Ephraim Mafuru
Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), katikati ni
Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL) kulia ni David Shayo wa
(SBL)
Mroki Mroki kutoka blogu ya Father Kidevu kushoto akipokea cheti chake.
Mwendeshaji wa Blogu ya Mtaa kwa Mtaa Othman Michuzi kushoto akipokea cheti chake.
Mkurugenzi wa Blogu ya Jiachie Ahmed Michuzi kushoto akipokea cheti chake.
Mkurugenzi wa kampuni ya R&R Caroline Gul kushoto akipokea cheti chake.
Mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni ya bia ya Serengeti Teddy Mapunda
akifafanua jambo katika semina ya uendeshaji wa mitandao na maadili ya
upashaji wa habari za masoko katika blogu na mitandao mingine.
Mablogger
mbalimbali wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakijiri katika semina ya
uendeshaji wa mitandao na maadili ya upashaji wa habari za masoko katika
blogu na mitandao mingine.
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
7:55 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
POOL HIGHER LEARNING KUWAKA MOTO KATIKA MIKOA MINNE MWISHONI MWA WIKI.
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
12:50 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
Wednesday, May 16, 2012
EXTRA BONGO WAFANYA LISTERNING PARTY KWA WAANDISHI WA HABARI NA KUMTAMBULISHA RASMI RAPA MPYA WA BENDI HIYO FRANK KABATANO
Frank akiimba sambamba na Mkurugenzi wake
Alichock akiimba wakati swaiba wake akicheza Mhariri Gazeti la Majira Michezo
Rapa mpya wa Bendi ya Extra Bongo, Frank
Kabatano akiimba mara baada ya
kutambulishwa rasmi wakati wa sherehe ya kusikilizisha nyimbo mpya za bendi hiyo(Listerning
Party) kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Dar
es Salaam
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
8:08 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
Thursday, May 10, 2012
KIVUMBI MWISHONI MWA WIKI MASHINDANO YA POOL KWA VYUO VIKUU.
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
5:20 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
Thursday, May 3, 2012
SUPER NYAMWELA;STAILI ZOTE UNAZIMZLIZA WENGINE WACHEZE NINI?
Kiongozi wa wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo, Super Nyamwela akicheza katika moja ya shoo Mzalendo Pub jijini Dar es Salaam.
KIONGOZI wa wacheza shoo wa
Bendi ya Muziki ya Extra Bongo Next Level sitarudia wala kuiga staili shoo ya
Twanga hata siku moja.
Akizungumza na mtandao huu
amesema haitatokea hata siku moja kucheza kile kilichopita na kudhihilisha hilo kila siku ya mungu
sasahivi anaumiza kichwa kubuni staili mpya za uchezaji ambazo zimewafanya
wapenzi na mashabiki kuvutiwa zaidi kwa juhudi zake
Nyamwela amekuwa akiyafanya hayo katika Bendi
yake ya Extra Bongo kwa kuwadhihilishia wapenzi wa muziki wa Dansi kuwa yeye
ananweza kwa kile alichokiahidi kutoka Bendi aliyotokea kwenda Bendi aliyopo
sasa ya Extra Bongo kuwa haitatokea hata siku moja kuiga staili za kucheza
alizoziacha katika ya Twanga.
Super Nyamwela kwa sasa ni
Kiongozi wa wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo akisaidiana na mwanadada
Otilia Bonniphace(Kandoro) ambaye husimama zaidi kwa upande wa kinadada.
Nyamwela zaidi ya ucheza shoo
kwa sasa ni mkufunzi wa wacheza shoo ambapo anachuo chake ambapo anafundisha
vijana kucheza kwa namna mbalimbali.Chuo hicho kiko Magomeni Mikumi jijini Dar es Salaam.
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
12:15 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook
Thursday, April 26, 2012
SHOO YA EXTRA BONGO NDANI YA WOODLAND MANZESE JIJINI DAR ES SALAAM
Ratiba ya Bendi ya Extra
Bongo wiki hii.
Alhamis-------------Equator
Grill Mtoni kwa Azizi Ally
Ijumaa---------------Mbezi Kunduchi
Beach
Jumamosi-----------Meeda
Sinza
Jumapili-------------Wood
Land Manzese Tiptop
"Tafadhari usikose mambo mazuri wiki hii"
Imewekwa na
Michael Shija Machellah
muda
7:27 AM
0
maoni
Email This
BlogThis!
Share to Twitter
Share to Facebook





















