Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Friday, May 18, 2012

PATA NAKALA YA GAZETI LAKO LA SUPER STAR KWA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI KILA SIKU

TIGO YATANGAZA WASHINDI WA FREE AIRLINE TICKET.



 Ofi uhusiano wa kampuni ya tigo Alice Maro akimkabidhi zawadi mmoja ya washindi wa shindano hilo Mshindi mwingine wa Ideo Lackson Mpangala, DSM.
  Ofi uhusiano wa kampuni ya tigo Alice Maro Mshindi mwengine akikabidhiwa simu yake.
 Ofi uhusiano wa kampuni ya tigo Alice Maro Mshindi mwengine akikabidhiwa simu yake.
 Ofi uhusiano wa kampuni ya tigo Alice Maro Mshindi mwengine akikabidhiwa simu yake.
Wshindi wote walioshinda simu pamoja na mshindi wa Tiketi ya ndege wakiwa kwenye picha ya pamoja.

FFU ! wa Ngoma Africa kuvaana na Wakameruni 5,000 Stuttgart,Ujerumani




Wakameruni wapatao zaidi ya 5,000 waishio nchini ujerumani wanatalajia kujimwaga na muziki wa dansi wa Ngoma Africa Band huko mjini Stuttgart,Ujerumani siku ya jumamosi
20 Mai 2012,katika sherehe maalumu kwa ajili  ya nchi yao "Cameroni Challenge" .
Kamati ya maandalizi ya jumuia ya wakameruni nchini Ujerumani imetoa mwaliko kwa
bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya Ngoma Africa band almaarufu FFU,kutumbuiza
katika sherehe hizo zitakazo fanyika mjini Stuttgart,nchini Ujerumani,ambako zitahudhuriwa na
wakameruni 5000 pamoja na wageni wa mataifa mbali mbali.
Mzimu huo wa dansi Ngoma Africa band aka FFU unatarajiwa kutoa burudani ya kuwapandisha
mzuka wadau wote watakao jimwaga uwanjani,
Ngoma Africa band sasa wanatamba na mpini wao mpya " Uhuru wa Habari" sikiliza hapa www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
You might also like:

WASHIRIKI WA BIGBROTHER STARGAME 2012 WAZUNGUMZA NA WANDISHI WA HABARI BAADA YA KUREJEA




Aliyekuwa Mwakilishi wa Tanzania katika Shindano la msimu wa 7 wa  Big Brother Stargame 2012 wapili kulia Bw.Julio Batalia  akizungumza na  waandishi wa habari kwenye mkutano uliofanyika kwenye hoteli ya Southernsun jijini Dar es salaam , wa pili kutoka kulia ni Mshiriki wa Big Brother Stargame 2012 Bi,Hilda Reiffenstein, kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Bi Furaha Samalu wa mwisho kulia na kushoto ni Meneja Uhusiano wa Maltchoice Tanzania Barbara Kambogi
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
Alikyekuwa Mshiriki wa Big Brother Stargame 2012 Bi,Hilda Reiffenstein akizungumza na wanahabari kwenye hoteli ya Southersun jijini Dar es salaam leo, kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Bi Furaha Samalu wa mwisho kutoka kushoto ni Meneja Uhusiano wa Maltchoice Tanzania Barbara Kambogi na Bw.Julio Batalia aliyekuwa mshiriki wa Bigbrother Stargame 2012
Afisa Mahusiano wa Multichoice Tanzania Barbara Kambogi wakwanza(kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ambapo ametolea ufafanuzi mfumo uliotumika mwaka huu katika kuchagua nchi itakayotoka katika shindano hilo  Afisa Mahusiano wa Multichoice Tanzania Barbara Kambogi wakwanza(kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ambapo ametolea ufafanuzi mfumo uliotumika mwaka huu katika kuchagua nchi itakayotoka katika shindano hilo  
Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAWAPA MABLOGGER SEMINA YA UENDESHAJI WA MITANDAO NA MAADILI KATIKA KUPASHA HABARI ZA MASOKO



 Mkurugenzi wa mtandao wa www.fullshangweblog.com akipokea cheti chake kutoka kwa Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) mara baada ya kumalizika kwa semina ya Mablogger kuhusu usimamizi na maadili ya upashaji wa habari na masoko katika  uendeleshaji wa blogu na mitandao mingine, iliyofanyika leo kwenye makao makuu ya kampuni hiyo yaliyoko Oysterbay jijini Dar es salaam, katikati ni mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni hiyo Teddy Mapunda
 Mkurugenzi wa Fullshangweblog kushoto akizungumza na mkurugenzi wa 8020fashion Shamimu Mwasha  mara baada ya semina hiyo, kulia ni Mkurugenzi wa blogu ya Father Kidevu.
mkurugenzi wa 8020fashion Shamimu Mwasha akipokea cheti chake Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) katikati ni mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni hiyo Teddy Mapunda.
 Josephat Lukaza akipokea cheti chake kutoka kwa Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), katikati ni Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL) kulia ni David Shayo wa (SBL)
Mroki Mroki  kutoka blogu ya Father Kidevu kushoto akipokea cheti chake.
 Mwendeshaji wa Blogu ya Mtaa kwa Mtaa Othman Michuzi kushoto akipokea cheti chake.
 Mkurugenzi wa Blogu ya Jiachie Ahmed Michuzi kushoto akipokea cheti chake.
 Mkurugenzi wa kampuni ya R&R Caroline Gul kushoto  akipokea cheti chake.
 Mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni ya bia ya Serengeti Teddy Mapunda akifafanua jambo katika semina ya uendeshaji wa mitandao na maadili ya upashaji wa habari za masoko katika blogu na mitandao mingine.
Mablogger mbalimbali wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakijiri katika semina ya uendeshaji wa mitandao na maadili ya upashaji wa habari za masoko katika blogu na mitandao mingine.
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti  Ephraim Mafuru kulia na kushoto Mkurugenzi wa mawasiliano kampuni ya bia ya Serengeti Teddy Mapunda waliokaa wakiwa katika picha ya pamoja na mablogger bara baada ya kumaliza semina yao na kupokea vyeti leo katika makao makuu ya kampuni hiyo.

POOL HIGHER LEARNING KUWAKA MOTO KATIKA MIKOA MINNE MWISHONI MWA WIKI.


Wednesday, May 16, 2012

EXTRA BONGO WAFANYA LISTERNING PARTY KWA WAANDISHI WA HABARI NA KUMTAMBULISHA RASMI RAPA MPYA WA BENDI HIYO FRANK KABATANO

 Frank akiimba sambamba na Mkurugenzi wake
 Alichock akiimba wakati  swaiba wake akicheza Mhariri Gazeti la Majira Michezo
Rapa mpya wa Bendi ya Extra Bongo, Frank Kabatano  akiimba mara baada ya kutambulishwa rasmi wakati wa sherehe ya kusikilizisha nyimbo mpya za bendi hiyo(Listerning Party) kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Dar es Salaam

Thursday, May 10, 2012

KIVUMBI MWISHONI MWA WIKI MASHINDANO YA POOL KWA VYUO VIKUU.

Thursday, May 3, 2012

SUPER NYAMWELA;STAILI ZOTE UNAZIMZLIZA WENGINE WACHEZE NINI?

 Kiongozi wa wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo, Super Nyamwela akicheza katika moja ya shoo Mzalendo Pub jijini Dar es Salaam.

KIONGOZI wa wacheza shoo wa Bendi ya Muziki ya Extra Bongo Next Level sitarudia wala kuiga staili shoo ya Twanga hata siku moja.
Akizungumza na mtandao huu amesema haitatokea hata siku moja kucheza kile kilichopita na kudhihilisha hilo kila siku ya mungu sasahivi anaumiza kichwa kubuni staili mpya za uchezaji ambazo zimewafanya wapenzi na mashabiki kuvutiwa zaidi kwa juhudi zake
 Nyamwela amekuwa akiyafanya hayo katika Bendi yake ya Extra Bongo kwa kuwadhihilishia wapenzi wa muziki wa Dansi kuwa yeye ananweza kwa kile alichokiahidi kutoka Bendi aliyotokea kwenda Bendi aliyopo sasa ya Extra Bongo kuwa haitatokea hata siku moja kuiga staili za kucheza alizoziacha katika ya Twanga.
Super Nyamwela kwa sasa ni Kiongozi wa wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo akisaidiana na mwanadada Otilia Bonniphace(Kandoro) ambaye husimama zaidi kwa upande wa kinadada.
Nyamwela zaidi ya ucheza shoo kwa sasa ni mkufunzi wa wacheza shoo ambapo anachuo chake ambapo anafundisha vijana kucheza kwa namna mbalimbali.Chuo hicho kiko Magomeni Mikumi jijini Dar es Salaam.

Thursday, April 26, 2012

SHOO YA EXTRA BONGO NDANI YA WOODLAND MANZESE JIJINI DAR ES SALAAM









Ratiba ya Bendi ya Extra Bongo wiki hii.
Alhamis-------------Equator Grill Mtoni kwa Azizi Ally
Ijumaa---------------Mbezi Kunduchi Beach
Jumamosi-----------Meeda Sinza
Jumapili-------------Wood Land Manzese Tiptop
"Tafadhari usikose mambo mazuri wiki hii"