Bendi ya Muziki wa Dansi imemtambulisha rasmi mcheza shoo mpya, Janeth Tingisha aliyekuwa Diamond Musica kwenye Ukumbi wa Mzalendo jijini Dar
Wapenzi na mashabiki wakicheza wakati wa utambulisho huo
Mpiga Bass, Hoseah Mgoati akipiga gitaa lake sambamba na mashabiki
Rapa wa Extra Bongo, Saullo Fagasoni akiimba sambamba na mashabiki
0 maoni:
Post a Comment