KIFAA HIKI UNAWEZA KUKIFANANISHA NA NANI-NIPE JIBU KUPITIA EMAIL YANGU
Ni Dereva wa Bajaji maeneo ya Wilaya ya Kinondoni haswa hupenda kupaki maeneo ya Kijitonyama na Sinza maeneo ya Kona Bar wakati mwingine.
Niligongana nae nikiwa katika mishe mishe zangu za kuwahi hapa na pale katika kupata habari,nikasimamisha Bajaj yake ili niwahi ninakokwenda hswa nikwambie nilikuwa naelekea pale Mzalendo Pub ambako Bendi ya Extra Bongo walikuwa wanatumbuiza pale siku hiyo,baada ya kusimamama kifaa hicho ukweli hakili yangu ilinituma kuwa ni Msanii marufu Nchini ambaye kwae ananifahamu nikahisi kasimama kwasababu ananifahamu na si dEREVA Bajaj ambaye anatafuta abiria.
Nilitoa hai nikijua ni Msanii ambaye tunafahamiana katika mazingira ambayo unayafahamu ya watu wanaofahamiana,ukweli mshikaji kulingana na tabu anazozipata kwa watu wengi aliniitikia kwa furaha lakini baadae alichana na kiambia najua umenifananisha na msanii fulani akamtaja.
Sio mimi na si wewe tu watu waengi wananifananisha,huyo mtu simjui na sijui kabila gani lakini baada ya watu kunigasi hivi karibuni ndio nimemuona kupitia TV ni kweli tunafanana labda sijui wazazi wetu alisema mshikaji,ninahamu sana ya kukutana nae huyu jama tufahamiane alimaliza......
Embu umiza kichwa kisha nitumie email au kupitia coments.
0 maoni:
Post a Comment