Na Michael Machellah
Ni mwanamuziki Nguli wa Extra Bongo aliyevuma sana enzi fulani za Bendi hiyo haswa katika Albam ya Mjini mipango baade aliamua kupumzika na kujiunga na Bendi fulani Mji kasoro Bahari nazungumzia Morogoro
Selemani Ramadhani(Suzuki) ni mwanamuziki tishio haswa anapokaa stajini,Leo live yupo katika Bendi yake ya awali ya Extra Bongo bendi yake aliyokuwa akiimbia enzi hizo anasema sasa amerudi nyumbani kujenga nyumbani kwake kule alikoanzisha kila kitu
Suzuku anasema wapenzi na mashabiki wake njooni Extra Bongo njooni mzalendo mpate mambo mazuri kutoka kwake na kwa Bendi nzima ya Extra BONGO.
Ni mwanamuziki Nguli wa Extra Bongo aliyevuma sana enzi fulani za Bendi hiyo haswa katika Albam ya Mjini mipango baade aliamua kupumzika na kujiunga na Bendi fulani Mji kasoro Bahari nazungumzia Morogoro
Selemani Ramadhani(Suzuki) ni mwanamuziki tishio haswa anapokaa stajini,Leo live yupo katika Bendi yake ya awali ya Extra Bongo bendi yake aliyokuwa akiimbia enzi hizo anasema sasa amerudi nyumbani kujenga nyumbani kwake kule alikoanzisha kila kitu
Suzuku anasema wapenzi na mashabiki wake njooni Extra Bongo njooni mzalendo mpate mambo mazuri kutoka kwake na kwa Bendi nzima ya Extra BONGO.
0 maoni:
Post a Comment