Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Saturday, June 23, 2012

KALALA JUNIA NDANI YA EXTRA BONGO

 Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam
 Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky(kulia) akiimba sambamba na waimbaji wake wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda jijini Dar es Salaam
 Wacheza shoo wakicheza
 Rapa Mkuu wa Bendi ya Extra Bongo, Frank Kabatano akiimba wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam
 Mpiga Rythm, Mfaume Zablon akilichakaza Gitaa wakati wa onyesho hilo
 Mpiga Tumba, Salum Chakuku akiwajibika wakati wa onyesho hilo.
 Wacheza shoo wakicheza
 Mpiga Solo, Adam Hassan akiwajibika katika kutua burudani
 Chocky na waimbaji wake wakiimba
 Mpiga Drums,Martine Kibosho akiwajibika wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam
 Ally Chocky na wadau wa muziki,kutoka kulia ni Kalala Junia,Ndanda Kossovo
 Wacheza shoo wakicheza
 Mwalimu wa Waalimuni,Banza Stone akiimba
 Wakicheza staili ya Katelelo

 Wakicheza
 Mtaalamu wa kila chombo cha muziki, Sebastian Ngosha akilichalaza Bass
 Kiongozi wa wacheza shoo wa kike, Otilia Boniphace akionyesha manjonjo


Wacheza shooo wakicheza

0 maoni:

Post a Comment