Meneja wa Mauzo wa TBL Robert Kaziwa akikabidhi zawadi ya kitita cha shilingi laki Sita kwa mshindi wa kwanza wa mashindano ya Ngoma za Asili mkoa wa Tabora ambao ni Magereza Arts Group. |
Kikundi cha JKT Tabora kiliibuka mshindi wa tatu katika mashindano hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mnadani Tabora mjini. |
Kikundi cha Magereza wakati wa michuano hiyo |
Kundi la Ugobhogobho wakati likionesha mambo yake |
Kikundi cha hiari ya Moyo ambacho kilishika nafasi ya Saba na kujinyakulia shilingi Laki moja na nusu. |
Kundi la ngoma ya asili lijulikanlo kama Wembe ambalo lilishika nafasi ya nane katika mashindano hayo. |
Kundi la ngoma ya asili linalojulikana kama Uvikuja ambalo lilishika nafasi ya tano. |
Baada ya kuibuka na ushindi huo kundi la Magereza lilianza kushangilia kwa mbwembwe za aina yake huku umati mkubwa wa wadau wa ngoma za asili wakishuhudia tukio hilo |
0 maoni:
Post a Comment