Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Tuesday, April 28, 2015

CCM KATA YA MAKUMBUSHO WAPIGWA MSASA JUU YA KATIBA.

 Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni wakiongoza wanachama kuapa(hawapo pichani) mara baada ya kukabidhi kadi pya kwa wanachama wapya waliokaribishwa siku hiyo.Hafla hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa CCM Mwinjuma jijini Dar es Salaam. 
 Viongozi wakiwaongoza wanachama kuapa.
 Baadhi ya viongozi wa matawi Kata ya Makumbusho wakienda sambamba na wanachama wapya kuapa mara baada ya kukabidhi kadi.
 Meza Kuu wakiongoza wanachama kuapa
 Wanachama wa Chama cha Mapinduzi kata ya Makombusho tawi la CCM Mwinjuma.
 Wanachama wapya wa Kata ya Makumbusho Tawi la CCM Mwinjuma wakiapa mara baada ya kupokelewa uanachama kwa kukabidhiwa Kadi za CCM.
 Katibu Mwenezi wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Mwinyimkuu Sangaraza akiwapa Semina Wanachama wa Kata ya Makumbusho juu ya Katiba mpya.

 Mwenezi Sangaraza, akitoa Semina juu ya Katiba
 Mwenezi Sangaraza akitoa Semina
 Mwenezi Sangaraza akisisitiza jambo kwa wanachama juu ya katiba. 
 Semina ikiendelea. 
 Mwanachama mpya, Jane akikabidhiwa kadi ya uanachama wa CCM.


 Mwanachama mpya wa CCM, Hidaya akikabidhiwa kadi ya uanachama.
 Mwanachama mpya wa Chama cha Mapinduzi, Rukia akipokea kadi.






0 maoni:

Post a Comment