Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Wednesday, November 6, 2013

BREEKING NEWS-ALIYEKUWA MCHEZA SHOO WA BENDI YA EXTRA BONGO, MWANTUMU AFARIKI DUNIA.

 Marehemu Mwantumu akicheza katika moja ya shoo za Extra Bongo enzi za uhai wake, Mwantumu alifariki jana katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salam chanzo cha kifo chake fuatilia mtandao huu tutakujulisha punde.
 Mwantumu enzi za uhai wake
 Marehemu Mwantumu
 Kwaheri Mwantumu
 Mwantumu wa kwanza (kushoto) akiwa katika pozi na wacheza shoo wenzake
 Marehemu, Mwantumu(wa kwanza kulia) aktika moja ya shoo za Extra Bongo na wenzake
 Dah mwantumu ndio kwaheri tena.......
Mwantumu (kulia) akicheza na wacheza shoo wenzake

EXTRA BONGO WAENDELEA KUTESA DAR

 Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa onyesho lao la kila jumamosi katika Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky akiimba wakati wa onyesho hilo.

 Muimbaji wa Bendi ya Extra Bongo, Athanas Mothanabe akiimba wakati wa onyesho hilo.

 Muimbaji wa Bendi hiyo akiimba

 Muimbaji wa Bendi hiyo akiimba
 Mpiga Solo, Joshua na mpiga rhythm wakiwajibika

 Rapa wa Bendi ya Extra Bongo, Zungu akifanya vitu vyake
 Mcheza shoo mkongwe, Otilia Boniphace akifanya vitu vyake
Hapooo

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS KENYATTA JIJINI JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI LEO



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya aliyemtembelea na kumsabahi hotelini kwake Sandton Sun jijini Johannesburg, Afrika ya Kusini, leo Oktoba 5, 2013.


PICHA NA IKULU

RAIS KIKWETE AKIKARIBISHWA NA RAIS JACOB ZUMA KATIKA MKUTANO WA PAMOJA WA SADC NAICGLR.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na Rais Jacob Zuma katika mkutano wa pamoja wa SADC NA ICGLR katika ukumbi wa kimataifa wa Oliver Tambo jijini Pretoria, Afrika Kusini, usiku wa kuamkia leo Oktoba 5, 2013

PICHA NA IKULU 

RAIS KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA PAMOJA WA SADC NA ICGLR PRETORIA AFRIKA YA KUSINI.



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika uwanja wa ndege wa Waterloof Air Force Base jijini Pretoria, Afrika ya Kusini Jumatatu Oktoba 4, 2013 tayari kuhudhuria  mkutano wa pamoja wa nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika (SADC) na za maziwa makuu (ICGLR) katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Oliver Tambo jijini Pretoria, Afrika ya Kusini


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihudhuria mkutano wa pamoja wa nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika (SADC) na za maziwa makuu (ICGLR) katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Oliver Tambo jijini Pretoria, Afrika ya Kusini, usiku wa kuamkia leo Oktoba 5, 2013

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihudhuria mkutano wa pamoja wa nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika (SADC) na za maziwa makuu (ICGLR) katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Oliver Tambo jijini Pretoria, Afrika ya Kusini, usiku wa kuamkia leo Oktoba 5, 2013

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihudhuria mkutano wa pamoja wa nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika (SADC) na za maziwa makuu (ICGLR) katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Oliver Tambo jijini Pretoria, Afrika ya Kusini, usiku wa kuamkia leo Oktoba 5, 2013

Meza kuu katika mkutano wa pamoja wa nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika (SADC) na za maziwa makuu (ICGLR) katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Oliver Tambo jijini Pretoria, Afrika ya Kusini


Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wakiwa katika mkutano wa pamoja wa nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika (SADC) na za maziwa makuu (ICGLR) katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Oliver Tambo jijini Pretoria, Afrika ya Kusini

0 maoni:

Post a Comment