Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa onyesho lao la
kila jumamosi katika Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam
mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky akiimba wakati wa onyesho hilo.
Muimbaji wa Bendi ya Extra Bongo, Athanas Mothanabe akiimba wakati wa onyesho hilo.
Muimbaji wa Bendi hiyo akiimba
Muimbaji wa Bendi hiyo akiimba
Mpiga Solo, Joshua na mpiga rhythm wakiwajibika
Rapa wa Bendi ya Extra Bongo, Zungu akifanya vitu vyake
Mcheza shoo mkongwe, Otilia Boniphace akifanya vitu vyake
Hapooo
0 maoni:
Post a Comment