Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Tuesday, November 5, 2013

EXTRA BONGO WAENDELEA KUTESA DAR


 Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa onyesho lao la kila jumamosi katika Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky akiimba wakati wa onyesho hilo.

 Muimbaji wa Bendi ya Extra Bongo, Athanas Mothanabe akiimba wakati wa onyesho hilo.

 Muimbaji wa Bendi hiyo akiimba

 Muimbaji wa Bendi hiyo akiimba
 Mpiga Solo, Joshua na mpiga rhythm wakiwajibika

 Rapa wa Bendi ya Extra Bongo, Zungu akifanya vitu vyake
 Mcheza shoo mkongwe, Otilia Boniphace akifanya vitu vyake
Hapooo

0 maoni:

Post a Comment