Mashindano ya mbio za Mitumbwi mkoa wa Kagera ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Balimi Extra Lager zimefanyika leo katika fukwe za Spice Hotel mjini Bukoba, washindi kupatikana na kukabidhiwa vitita vya zawadi. Ambapo Fainali ya kanda yatafanyika Jijini Mwanza mwezi ujao tarehe 7 novemba, 2013.
Sunday, November 3, 2013
MASHINDANO YA MBIO ZA MITUMBWI YA BALIMI MKOA KAGERA YAFANA.
Mashindano ya mbio za Mitumbwi mkoa wa Kagera ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Balimi Extra Lager zimefanyika leo katika fukwe za Spice Hotel mjini Bukoba, washindi kupatikana na kukabidhiwa vitita vya zawadi. Ambapo Fainali ya kanda yatafanyika Jijini Mwanza mwezi ujao tarehe 7 novemba, 2013.
0 maoni:
Post a Comment