Watu
200 waliokuwa wakisafiri kwa ndege ya Ethiopian Airline wanusurika kufa
baada ya ndege kupitiliza hadi nje ya uwanja mdogo wa ndege wa Arusha
baada ya kutua kwa dharura.
Abiria zaidi ya mia mbili waliokuwemo kwenye ndege hiyo wamenusurika kifo, wanasubiri msaada ngazi waweze kushushwa.



Picha Kwa Hisani ya DJ SEK BLOG
HUYU HAPA MWANDISHI WA HABARI MUONJAJI BORA WA BIA MWANZA 2013-2014.
![]() |
Naye Afisa Ubora wa bia za TBL tawi la Mwanza Jeremiah Kamambi alitoa somo Wajibu wa Muuzaji na Mnywaji wa bia likiwemo suala la kuzingatia afya na umri sahihi kwa watumiaji kileo. |
![]() |
Hapa kuna inshu ilijitokeza ya kusisimua...... |
![]() |
Mwandishi Asia Mohamed akionja moja ya glass sita ili kubaini aina ya bia kwenye shindano hilo. |
![]() |
Toka chumba cha Ushindani TBL Mwanza. |
![]() |
Hiki ndicho kinachofanyika. |
![]() |
Uzalishaji ukiendelea kitengo cha uwekaji nembo za bia. |
![]() |
Usafishaji chupa. |
![]() |
Hatua kwa hatua.. |
![]() |
Afisa Mahusiano wa kampuni ya bia TBL Tanzania Doris Malulu akitoa ufafanuzi kwa mwandishi wa habari Sitta Tuma. |
![]() |
Kinachotolewa ufafanuzi. |
![]() |
Taswira ya utalii kiwandani TBL Mwanza. |
![]() |
Safari ya utalii kiwandani katika eneo la uzalishaji ilikoma suala lililofuata likawa ni ukabidhi zawadi kwa washindi ambapo picha za washindi unaziona juu kabisa. |
![]() |
Zawadi kwa Philbert Kabago. |
![]() |
Zawadi kwa Mkurugenzi wa Gazeti la Baruti . |
![]() |
Zawadi kwa idara ya usafiri waandishi. |
![]() |
Albert G. Sengo. |
![]() |
Hussein Mtanda. |
![]() |
Sitta Tuma na kwa engo kulia ni uchokozi wa Nteminyanda. |
![]() |
Kutoka kushoto Mbaya, Erick (Afisa Matukio TBL Mwanza), Kabago na Afisa Mahusiano wa TBL Tanzania Doris Malulu. |
![]() |
Picha ya pamoja ya wanahabari washiriki wa shindano la Beer Tasting Competition 2013-2014 lililofanyika katika kiwanda cha bia TBL Mwanza. |
TANZANIA DISTILLERIES LIMITED(TDL) YAZINDUA PROMOSHENI YASHINDANO LA KUMSAKA MSHINDI ATAKAE PATA FURSA YA KWENDA KUTEMBELEA SHAMBA KUTENGENEZA KINYWAJI CHA AMARULA NCHINI AFRIKA KUSINI LIJULIKANALO KAMA “AMARULA PAN AFRICAPROMOTION”.
Meneja wa
kinywaji cha Amarula kutoka Kampuni ya Konyagi Tanzania, Diana Baliagati,
akizungumza na waandishi wa habaari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa promosheni
ya kinywaji hicho Mlimani City Dar es Salaam.Mshindi wa promosheni hiyo atapata
fursa ya kwenda Afrika kusini na rafiki yake kwenda kushuhuduia shamba na
utengenezaji wa kinywaji hicho.
Meneja wa
kinywaji cha Amarula kutoka Kampuni ya Konyagi Tanzania, Diana Baliagati(kulia),
akizungumza na waandishi wa habaari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa
promosheni ya kinywaji hicho Mlimani City Dar es Salaam. Mshindi wa promosheni
hiyo atapata fursa ya kwenda Afrika kusini na rafiki yake kwenda kushuhuduia
shamba na utengenezaji wa kinywaji hicho.
KAMPUNI ya Tanzania Distilleries Limited (TDL) leo
imetangaza promosheni ya shindano la kumsaka mshindi wa anayetumia kinywaji cha
Amarula, kinacho tengenezwa nchini Afrika Kusini na kusambazwa na TDL nchini
maarufu kama nyumba ya Konyagi katika promosheni iliyozinduliwa leo Shoprite
Mlimani City jijini Dar es Salam ijulikanayo kama “Amarula Pan Africa Promotion”.
Akizungumza na waandishi
wa habari, Meneja Bidhaa wa TDL, Diana Baliagati alisema shindano hili la
kumsaka mtumiaji wa Amarula litaanza rasmi Desemba 16,2013 hadi Januari 14,
2014.
Diana alisema lengo hasa
ikiwa ni kuwapa fursa wanywaji wa Amarula kwenda kutembelea nchi ya Afrika Kusini
na kushuhudua shamba la Amarula na kujionea matunda ambayo hutumika
kutengenezea kinywaji cha Amarula.
Mshindi katika shindano
hili,atapata tiketi moja itakayomuwezesha kusafari na mwenzake kwa ajili ya
kwenda kushuhudia shamba la AMARULA,nchini Afrika Kusini na kufikia katika
Hoteli ya nyota tano(5Star), alisema Diana.
Meneja bidhaa wa TDL,
Diana Baliagati alisema, ili kupata nafasi ya kujishindia tiketi,mshiriki
anapashwa kujaza kuponi zilizo katika shingo ya chupa kubwa za Amarula
zinazouzwa katika maduka makubwa yote ya Shoprite husika.Chupa hizo za shindano
la Amarula Pan Africa Promotion zitakuwa
zikipatika kwenye maduka ya Shoprite tu.
Mshindi wa Amarula Pan Africa Promotion
atapatikana kupitia droo itakayofanyika
Januari 14,2014, na safari itakuwa mwezi Februari.Mshindi atapewa taarifa zote
zinazohusika na safari hiyo mara baada
ya droo kufanyika.
BONDIA FRANSICI MIYEYUSHO AJIFUA KWA AJILI YA KUMTWANGA DAVID CHALANGA WA KENYA DESEMBA 31
Bondia Fransic Miyeyusho kushoto akielekezwa jinsi ya kutupa makonde kwa mpangilio na Doi Miyeyusho wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika GYM ya lazima ukae iliyopo kinondoni Dar es salaam Miyeyusho anajiandaa na mpambano wake wa kimataifa wa kufunga mwaka na David Chalanga wa Kenya mpambano utakaofanyika Desemba 31 katika ukumbi wa Msasani klabu Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
|
0 maoni:
Post a Comment