
Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky na Mkurugenzi wa Hotel ya DIA MAMA ya Mjini Dodoma wakifurahia jambo wakati Choki alipopita kumsalimia Hotelini kwake akielekea Msoma

Wakielekezana jambo

Mkurugenzi wa Hoteli katikati akiwaelekeza jambo

Akizzungumza

Choki akitambulishwa kwa Meneja wa Hoteli ya Dia Mama iliyopo Dodoma Mjini

Akitambulishwa kwa wafanyakazi

Akiwasalimia wafanyakazi

Wakiagana

Wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wakielekea Msoma

Picha ya Pamoja
0 maoni:
Post a Comment