Martine Kkibosho baada ya kurejea na Bendi kwa mara ya kwanza kwa Bendi hiyo kupiga katika onysho la wazi ambapo mpiga Drum huyu alifannya kazi ammbayo kila mtu aliikubali
Bendi ya Extra Bongo leo wako Mzalendo ambapo kesho watapiga katika ukumbi wa Magareza Ukonga na Jumamosi ni pale Kiwanja cha Nyumnba Meeda na Jumapili ni TP Bonanza kila jumapili
0 maoni:
Post a Comment