
Mweka hazina wa Media Entertainmen,Rhobby Chacha akionyesha pesa,Tsh.50,000/= mara baada ya kukabidhiwa na Mdau na mpenzi wa muziki wa Dansi Vitus Mzee wa Pamba

Mzee wa Pamba akimkabidhi mweka hazina Rhobi Chacha kiasi cha Tsh.50,ooo/=

Mzee wa Pamba akiwa kwenye kiwanja chake mara baada ya kuipiga tafu Media Entertaiment
0 maoni:
Post a Comment