
Moto uliowashwa kuashilia usiku wa Nyama Choma kwenye Viwanja vya Chuo cha Posta Kijitonyama Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Wadau wa habari wakiwa kwenye Viwanja vya Chuo cha Posta wakati wa sherehe za Usiku wa Nyama choma

Mambo ya Nyama Choma yalikuwa kama unavyoona

Watu wakijivinjari

Nyama Choma
0 maoni:
Post a Comment