Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Tuesday, September 27, 2011

EXTRA BONGO SASA WADHAMILIA KUTEKA SOKO LA MUZIKI WA DANSI CHINI

Mcheza shoo wa Extra Bongo, Super Danger akionyesha umahili wake kwenye Ukumbi wa nyumbani Meeda Jijini Dar es salam mwishoni mwa wikiWakina dada wakicheza kwa style ya madaha..
Mdau akiwatunza wakinadada baada ya kuguswa na uchezaji wao
Rapa wa Extra Bongo akiimba wakati wa onyesho hilo
Mpiga tumba,Chakuku akionyesha umahili wake kwenye tumba
Wanahabari wakifuatilia kwa makini shoo hiyo
Aaa, Saullo.........
Hapo sasa...
Mdau na shabiki wa Extra Bongo akimpongeza mcheza shoo Nyamwela
Mh......
Haya sasa......
Twende Master B
Ally uko juuuuuu.....
Teacher hapo unauaaaaa....
Choki akiwa na wadau
Super Danger haya sasa...
Wadada huo mkao gani tena?
Hapo mnajiandaa kukimbia au ni style ya kucheza?
Aha......
Mdau akisikilisa bass kwa makini toka kwa muimbaji,Rama Pentagoni
Mwalimu wa waalimu akiimba akiwa ametoka kiana
Haya sasa

0 maoni:

Post a Comment