Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Tuesday, September 20, 2011

WAKAZI WA MWANZA WANENA EXTRA BONGO SASA BASI......

Mwimbaji wa Extra Bongo,Banza Stone akiimba nyimbo zake za enzi hizo wakati wa tamasha la kukaribisha miaka 50 ya Uhuru lililofanyika Viwanja vya furahisha jijini Mwanza
Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo,Ally Chocky akitoa shoo wakati wa tamasha la kukaribish miaka 50 ya Uhuru lililofanyika viwanja vya furahisha jijini Mwanza
Wacheza shoo wakionyesha umahili wao wakati wa shoo hiyo.
Baadhi ya wanamuziki wa Extra Bongo wakiwa kwenye mapumziko wakisubili muda wa kupanda jukwaani
Wacha weeeeeee.....
Hapooooo.......
Ahaa............
Otilia staili gani tena hizo.............
Chocky na Bob Kissa wakiingia uwanjani kucheza shoo
Mwantum, dada hiyo sasa dah................
Bob Kissa akwaonyesha wakazi wa Mwanza umahili wake.
Bob Kissa akienda sambamba na shabiki lilijitokeza
Wacheza shoo wa kiume wakifanya mambo
Twende sasa.....
Mh............
Haya sasa.....
Aya weeeeeee......
Chakuku acha fujo zote hizi unapeleka wapi? si ukae tule wote....
Chakuku mgomviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

0 maoni:

Post a Comment