Mcheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo,Aisha Mbegu akiimba wakati wa onyesho la Bendi hiyo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky akiimba sambamba na mashabiki wakati wa onyesho la Bendi hiyo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Msanii wa nyimbo za kizazi kipya,Hussein Machozi akiimba wakati wa onyesho la Extra Bongo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
1 maoni:
Jigambeeeeeeeeeee kuwa mTanzania bwana!jaribu kutembelea http://www.jigambe.com http://www.jigambeAds.com na http://www.TanzaniaKwetu.com uone watu wanavyojigamba kwa technology za kibongo.
Post a Comment