Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Tuesday, October 11, 2011

AISHA MBEGU ABADILISHA FANI NDANI YA EXTRA BONGO,CHOCKY AMFAGILIA

Mcheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo,Aisha Mbegu akiimba wakati wa onyesho la Bendi hiyo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Jijini Dar es Salaam
Duh,Bi Mkubwa anaimba?

Wakicheza
Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky akiimba sambamba na mashabiki wakati wa onyesho la Bendi hiyo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Sasa hapo inakuwaje?
Aha.....
Msanii wa nyimbo za kizazi kipya,Hussein Machozi akiimba wakati wa onyesho la Extra Bongo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
Akiimba sambamba na mashabiki
Haya sasa.....
Rapa wa Bendi ya Extra Bongo,Saullo Fagason akiimba sambamba na shabiki wakati wa onyesho la Bendi hyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki
Duh,Fagaaaaaaaaa

1 maoni:

Sham said...

Jigambeeeeeeeeeee kuwa mTanzania bwana!jaribu kutembelea http://www.jigambe.com http://www.jigambeAds.com na http://www.TanzaniaKwetu.com uone watu wanavyojigamba kwa technology za kibongo.

Post a Comment