
RATIBA YA EXTRABONGO
BENDI ya Muziki wa Dansi ya Extra Bongo wiki hii wataanza na siku ya Alhamisi ambapo watatumbuiza kwenye Ukumbi wa Mzalendo Pub Kijitonyama jijini Dar es Salam,Ijumaa ni Boko CCM Calfon Pub ,Jumamosi ni kwenye Ukumbi wa nyumbani Meeda Sinza Jijini Dar es Salaam na Jumapili ni Dar live Mbagala jijini Dar es Salam

Mpiga tumba wa Bendi ya Extra Bongo, Salum Issa Mkanje (Chakuku Tumba) akiwajibika wakati wa onyesho hilo

Chakuku.............. Mwimbaji wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhani Mhoza (Rama Pentagon) akicheza sambamba na wacheza shoo wa Bendi hiyo
Wakicheza
Wakicheza
Wakiwajibika
Mcheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo, Danger Boy akicheza sambamba na shabiki wa bendi hiyo
Mpiga Bass wa Bendi ya Extra Bongo, Hoseah Mgoachi akilichakaza bass mbele ya shabiki
Shabiki wa Bendi ya Extra Bongo,Maarufu kwa jina la Babas Meneja wa Respect akimtunza Mkurugenzi wa Extra Bongo , Ally Chocky
Chocky akirap sambamba na wacheza shoo wake
Wacheza shoo wa Extra Bongo wakiwajibika jukwaani
0 maoni:
Post a Comment