Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Tuesday, January 17, 2012

RATIBA YA EXTRA BONGO WIKI HII

Mwimbaji wa Bendi ya Extra Bongo, Athanas Motanabe akiimba wakati wa onyesho la Bendi hiyo kwenye Ukumbi wa Meeda Sinza Jijini Dar es Salaam


RATIBA YA EXTRABONGO

BENDI ya Muziki wa Dansi ya Extra Bongo wiki hii wataanza na siku ya Alhamisi ambapo watatumbuiza kwenye Ukumbi wa Mzalendo Pub Kijitonyama jijini Dar es Salam,Ijumaa ni Boko CCM Calfon Pub ,Jumamosi ni kwenye Ukumbi wa nyumbani Meeda Sinza Jijini Dar es Salaam na Jumapili ni Dar live Mbagala jijini Dar es Salam

Mpiga tumba wa Bendi ya Extra Bongo, Salum Issa Mkanje (Chakuku Tumba) akiwajibika wakati wa onyesho hilo


Chakuku.............. Mwimbaji wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhani Mhoza (Rama Pentagon) akicheza sambamba na wacheza shoo wa Bendi hiyo Wakicheza Wakicheza Wakiwajibika Mcheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo, Danger Boy akicheza sambamba na shabiki wa bendi hiyo Mpiga Bass wa Bendi ya Extra Bongo, Hoseah Mgoachi akilichakaza bass mbele ya shabiki Shabiki wa Bendi ya Extra Bongo,Maarufu kwa jina la Babas Meneja wa Respect akimtunza Mkurugenzi wa Extra Bongo , Ally Chocky Chocky akirap sambamba na wacheza shoo wake Wacheza shoo wa Extra Bongo wakiwajibika jukwaani

0 maoni:

Post a Comment