Subscribe:

Ads 468x60px

Pages

Thursday, March 26, 2015

FEZA SCHOOL YATEMBELEA KIWANDA CHA COCACOLA JIJINI DAR ES SALAAM.


Mdhibiti wa ubora(Quality Controller) wa Kampuni ya Cocacola Kwanza, Kapalila Hamis akiwaonyesha kifaa maalum cha kutengenezea chupa za soda za plastiki, wanafunzi wa Darasa la saba wa Feza ya Mikwecheni jijini Dar es Salaam walipotembelea Kiwanda hicho.
Qulity Controller akiendelea kuwaonyesha kifaa hicho
 Mchanganyaji wa madawa wa Kiwanda cha Cocacola Kwanza cha  jijini Dar es Salaam akiwaelekeza jambo wanafunzi wa Fedha
 Cyrup Marker,Said akiwaelekeza

Kapalila akizungumza na wanafunzi hao

Kapalila akiwaelekeza jambo
 Kapalila akiwaelekeza namna chupa zinavyotengenezwa
 Kapalila akiwaonyesha unga maalum wa kutengenezea chupa za plastiki
 Water treatment wa maji ya Dasani akizungumza na wanafunzi hao jinsi anavyofanya kazi.
 Wanafunzi wa FEZA wakiwa na Lekopoz







 Shareacoke

 Wanafunzi wa FEZA wakitosi na Cocacola Bariiidi
 Mwanafunzi wa Feza akipata Cocacola Bariiiiiiiiiiiiidi

 Wanafunzi wa FEZA wakifurahi na Lekopoz


Le Kopoz

0 maoni:

Post a Comment