
Mbunge wa Kinondoni,Idd Azan (katikati) akiwasili Uwanja wa TP kwa ufunguzi wa TP Sunday Bonanza lililofanyika mwishoni mwa wiki Sinza Dar es Salaam ambalo litakuwa likifanyikia kila jumapili likisindikizwa na Bendi ya Extra Bongo

Mbunge wa Kinondoni, Idd Azan akikaguwa timu wakati wa ufunguzi huo

Akikagua

Mbunge,Idd Azan akizungumza na wachezaji

Akizungumza

Wachezaji wakisalimia

Timu ya MSD wakiwa kwenye picha ya pamoja

Picha ya Pamoja

Wachezaji wakiwa tayari kwa kucheza

Kamati ikipeana maelezezo

Diwani wa Sinza akiongozana na wanakamati kufanya ufunguzi

Mashabiki wakifuatilia Bonanza

Diwani akikagua timu

Mratibu wa Bonanza akihamasisha jambo

Wadau wa Bonanza wakijivinjari

Waandaaji wa Bonanza wakifuatilia kwa makini mambo yanavyokwenda

Mc na mmoja ya waandaaji wa Bonanza,Christopher Lissa akihamasisha jambo

Wapenzi na mashabiki wakifuatilia

Wadau na wadhamini wa Bonanza wakifuatilia

Diwani akikagua

Akizungumza na wachezaji

Mkurugenzi wa Extra Bongo,Ally Chocky akizungumza na wachezaji wakati wa ufunguzi

Chocky akizungumza

Wapenzi wa Bonanza wakifuatilia

Mkurugenzi wa Extra Bongo,Ally Chocky akiimba wakati wa Bonanza hilo

Wapenzi wakifuatilia

Wacheza shoo wakionyesha umahili wao
0 maoni:
Post a Comment